Skip to content
Matendo 27:18-19

Matendo 27:18-19

18
Tulikuwa tunapigwa na dhoruba kwa nguvu, kiasi kwamba kesho yake walianza kutupa shehena toka melini.
19
Siku ya tatu, wakatupa vyombo vya meli baharini kwa mikono yao wenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options