Skip to content
Matendo 26:24-25

Matendo 26:24-25

24
Paulo alipokuwa akifanya utetezi huu, Festo akasema kwa sauti kubwa, “Paulo, wewe umerukwa na akili! Kusoma kwingi kunakufanya uwe kichaa!”
25
Lakini Paulo akajibu, “Mimi sijarukwa na akili, mtukufu sana Festo, bali nanena kweli nikiwa na akili zangu timamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options