Skip to content
Matendo 24:5-8

Matendo 24:5-8

5
“Tumemwona mtu huyu kuwa ni msumbufu, anayechochea ghasia miongoni mwa Wayahudi duniani pote. Yeye ndiye kiongozi wa dhehebu la Wanazarayo,
6
na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata; [tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu.
7
Lakini jemadari Lisia alitujia na nguvu nyingi, akamwondoa mikononi mwetu,
8
akiwaamuru washtaki wake waje mbele yako: ili] kwa kumchunguza wewe mwenyewe unaweza kujua kutoka kwake mambo yote tunayomshtaki kwayo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options