Skip to content
Matendo 21:8-9

Matendo 21:8-9

8
Siku iliyofuata tukaondoka, tukafika Kaisaria. Huko tukaenda nyumbani kwa mwinjilisti mmoja jina lake Filipo, aliyekuwa mmoja wa wale Saba, tukakaa kwake.
9
Filipo alikuwa na binti wanne mabikira waliokuwa wanatoa unabii.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options