15
Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka kwenda Yerusalemu.
16
Baadhi ya wanafunzi kutoka Kaisaria wakafuatana nasi na kutupeleka nyumbani kwa Mnasoni, ambaye tungekaa kwake. Yeye alikuwa mtu wa Kipro, mmoja wa wanafunzi wa zamani.
17
Tulipofika Yerusalemu ndugu wakatukaribisha kwa furaha.