Matendo 20:25-27
25
“Nami sasa najua ya kuwa hakuna hata mmoja miongoni mwenu ambaye nimemhubiria Ufalme wa Mungu katika kwenda kwangu huku na huko, atakayeniona uso tena.
26
Kwa hiyo nawatangazia leo, sina hatia ya damu ya mtu awaye yote.
27
Kwa kuwa sikusita kuwatangazia mapenzi yote ya Mungu.