Przejdź do treści
Matendo 2:16-18

Matendo 2:16-18

16
La, hili ni jambo lililotabiriwa na nabii Yoeli, akisema:
17
“ ‘Katika siku za mwisho, asema Mungu, nitamimina Roho wangu juu ya wote wenye mwili. Wana wenu na binti zenu watatabiri, vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
18
Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile nitamimina Roho wangu, nao watatabiri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options