Skip to content
Matendo 19:11-12

Matendo 19:11-12

11
Mungu akafanya miujiza mingi isiyo ya kawaida kwa mkono wa Paulo,
12
hivi kwamba leso au vitambaa vilivyokuwa vimegusa mwili wa Paulo viliwekwa juu ya wagonjwa, nao wakapona magonjwa yao, na pepo wachafu wakawatoka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options