Skip to content
Matendo 18:19-21

Matendo 18:19-21

19
Walipofika Efeso, Paulo aliwaacha Prisila na Akila huko, lakini yeye akaingia kwenye sinagogi akawa anajadiliana na Wayahudi.
20
Walipomwomba akae nao kwa muda mrefu zaidi hakukubali.
21
Lakini alipokuwa akiondoka, akaahidi, “Nitarudi kama Mungu akipenda.” Kisha akasafiri kwa njia ya bahari kutoka Efeso.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options