Skip to content
Matendo 16:30-31

Matendo 16:30-31

30
Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?”
31
Wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka, pamoja na watu wa nyumbani mwako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options