Skip to content
Matendo 15:37-38

Matendo 15:37-38

37
Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.
38
Lakini Paulo aliona si vyema kwa sababu aliwahi kuwaacha walipokuwa huko Pamfilia, hakutaka kuendelea kufanya kazi naye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options