Skip to content
Matendo 13:2-3

Matendo 13:2-3

2
Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi ile maalum niliyowaitia.”
3
Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options