Skip to content
Matendo 13:17-19

Matendo 13:17-19

17
Mungu wa watu hawa wa Israeli aliwachagua baba zetu, akawafanya kustawi walipokuwa huko Misri, kwa uwezo mwingi akawaongoza na kuwatoa katika nchi ile.
18
Kwa muda wa miaka arobaini alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani.
19
Naye baada ya kuyaangamiza mataifa saba waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, akawapa Waisraeli nchi yao iwe urithi wao.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options