Skip to content
Matendo 12:1-4

Matendo 12:1-4

1
Wakati huo huo Mfalme Herode Agripa aliwakamata baadhi ya watu wa kanisa.
2
Akaamuru Yakobo, ndugu yake Yohana, auawe kwa upanga.
3
Alipoona jambo hilo limewapendeza Wayahudi, akaendelea, akamkamata pia Petro. Hii ilitokea wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu.
4
Baada ya kumkamata alimtia gerezani, chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari, vyenye askari wanne kila kimoja. Herode alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka mbele ya watu baada ya Pasaka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options