Matendo 12:1-3
1
Wakati huo huo Mfalme Herode Agripa aliwakamata baadhi ya watu wa kanisa.
2
Akaamuru Yakobo, ndugu yake Yohana, auawe kwa upanga.
3
Alipoona jambo hilo limewapendeza Wayahudi, akaendelea, akamkamata pia Petro. Hii ilitokea wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu.