Skip to content
Matendo 12:1-3

Matendo 12:1-3

1
Wakati huo huo Mfalme Herode Agripa aliwakamata baadhi ya watu wa kanisa.
2
Akaamuru Yakobo, ndugu yake Yohana, auawe kwa upanga.
3
Alipoona jambo hilo limewapendeza Wayahudi, akaendelea, akamkamata pia Petro. Hii ilitokea wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options