Matendo 11:27-28
27
Wakati huo manabii walishuka toka Yerusalemu hadi Antiokia.
28
Mmoja wao, jina lake Agabo, akasimama akatabiri kwa uweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itaenea ulimwengu mzima. Njaa hiyo ilitokea wakati wa utawala wa Klaudio.