Matendo 11:1-3
1
Mitume na ndugu walioamini waliokuwa huko Uyahudi wakasikia kuwa watu wa Mataifa nao wamepokea neno la Mungu.
2
Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, wale wa tohara waliokuwa wameamini wakamshutumu,
3
wakisema, “Ulikwenda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”