Matendo 10:12-14
12
Ndani yake walikuwepo aina zote za wanyama wenye miguu minne, nao watambaao nchini, na ndege wa angani.
13
Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”
14
Petro akajibu, “La hasha Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.”