Skip to content
Matendo 1:6-7

Matendo 1:6-7

6
Mitume walipokuwa wamekusanyika pamoja, wakamuuliza Yesu, “Bwana, je, huu ndio wakati wa kuwarudishia Israeli ufalme?”
7
Yesu akawaambia, “Si juu yenu kujua nyakati na majira ambayo Baba ameyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options