Skip to content
Matendo 1:4-5

Matendo 1:4-5

4
Wakati mmoja alipokuwa pamoja nao, aliwapa amri hii, “Msitoke Yerusalemu, bali ingojeni ahadi ya Baba, ambayo mmenisikia nikisema habari zake.
5
Yohana aliwabatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options