కంటెంట్‌కు వెళ్లండి
Matendo 1:18-19

Matendo 1:18-19

18
(Basi Yuda alinunua shamba kwa zile fedha za uovu alizopata; akiwa huko shambani akaanguka, akapasuka na matumbo yote yakatoka nje.
19
Kila mtu Yerusalemu akasikia habari hizi, kwa hiyo wakapaita mahali hapo kwa lugha yao, Akeldama, yaani Shamba la Damu).
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options