Skip to content
2 Timotheo 3:6-8

2 Timotheo 3:6-8

6
Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka wanawake wajinga, waliolemewa na dhambi zao na kuyumbishwa na aina zote za tamaa mbaya.
7
Wakijifunza siku zote lakini kamwe wasiweze kufikia ujuzi wa kweli.
8
Kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Mose, vivyo hivyo watu hawa hupingana na ile kweli. Hawa ni watu wenye akili zilizopotoka, ambao wamekataliwa kwa mambo ya imani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options