Skip to content
2 Timotheo 3:16-17

2 Timotheo 3:16-17

16
Kila Andiko limevuviwa na Mungu na lafaa kwa mafundisho, kwa kuwaonya watu makosa yao, kwa kuwaongoza na kwa kuwafundisha katika haki,
17
ili mtu wa Mungu awe amekamilishwa, apate kutenda kila kazi njema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options