Skip to content
2 Timotheo 2:4-5

2 Timotheo 2:4-5

4
Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari.
5
Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options