Skip to content
2 Timotheo 2:12-13

2 Timotheo 2:12-13

12
Kama tukistahimili, pia tutatawala pamoja naye. Kama tukimkana yeye, naye atatukana sisi.
13
Kama tusipoamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options