Skip to content
2 Timotheo 1:16-17

2 Timotheo 1:16-17

16
Bwana akawahurumie watu wa nyumbani mwa Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha mara kwa mara wala hakuionea aibu minyororo yangu.
17
Badala yake, alipokuwa Rumi, alinitafuta kwa bidii mpaka akanipata.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options