Skip to content
2 Wathesalonike 2:9-10

2 Wathesalonike 2:9-10

9
Kuja kwa yule mwasi kutaonekana kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu ya uongo,
10
na kila aina ya uovu kwa wale wanaoangamia kwa sababu walikataa kuipenda kweli wapate kuokolewa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options