Skip to content
2 Samweli 7:1-2

2 Samweli 7:1-2

1
Baada ya mfalme kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, naye Bwana akiwa amemstarehesha pande zote mbali na adui zake,
2
akamwambia nabii Nathani, “Mimi hapa, ninaishi katika jumba la kifalme la mierezi, wakati Sanduku la Mungu limebaki katika hema.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options