মূল বিষয়বস্তুতে যান
2 Samweli 6:9-10

2 Samweli 6:9-10

9
Daudi akamwogopa Bwana siku ile, akasema, “Ni jinsi gani Sanduku la Bwana litakavyoweza kunijia?”
10
Hakuwa radhi kulichukua Sanduku la Bwana kwake katika Mji wa Daudi. Badala yake akalipeleka kwenye nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options