Skip to content
2 Samweli 5:7-9

2 Samweli 5:7-9

7
Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
8
Siku ile, Daudi akasema, “Yeyote ambaye atawashinda Wayebusi, atatumia huo mfereji kuwafikia hao ‘viwete na vipofu’ ambao ni adui za Daudi.” Ndiyo sababu wanasema, “ ‘Vipofu na viwete’ hawataingia kwenye jumba la ufalme.”
9
Ndipo Daudi akafanya makao ndani ya ngome na kuiita Mji wa Daudi. Akajenga eneo linalozunguka kuanzia Milo kuelekea ndani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options