2 Samweli 5:13-16
13
Baada ya Daudi kuondoka Hebroni, akajitwalia masuria zaidi na wake huko Yerusalemu, nao wana na binti wengi walizaliwa kwake.
14
Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,
15
Ibihari, Elishua, Nefegi, Yafia,
16
Elishama, Eliada na Elifeleti.