Skip to content
2 Samweli 24:18-19

2 Samweli 24:18-19

18
Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi na kumwambia, “Panda ukamjengee Bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.”
19
Kwa hiyo Daudi akakwea kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kwa kinywa cha Gadi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options