Skip to content
2 Samweli 22:50-51

2 Samweli 22:50-51

50
Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
51
Humpa mfalme wake ushindi mkuu; huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na wazao wake milele.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options