2 Samweli 22:2-3
2
Akasema: “Bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,
3
Mungu wangu ni mwamba wangu, ambaye kwake ninakimbilia, ngao yangu na pembe ya wokovu wangu. Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu na mwokozi wangu, huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.