Перейти до вмісту
2 Samweli 22:10-15

2 Samweli 22:10-15

10
Akazipasua mbingu akashuka chini, mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
11
Alipanda juu ya kerubi akaruka, akapaa juu kwa mbawa za upepo.
12
Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.
13
Kutokana na mwanga wa uwepo wake mawingu yalisogea, ikanyesha mvua ya mawe na umeme wa radi.
14
Bwana alinguruma kutoka mbinguni, sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.
15
Aliipiga mishale na kutawanya adui, umeme wa radi na kuwafukuza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options