Skip to content
2 Samweli 22:1-3

2 Samweli 22:1-3

1
Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.
2
Akasema: “Bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,
3
Mungu wangu ni mwamba wangu, ambaye kwake ninakimbilia, ngao yangu na pembe ya wokovu wangu. Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu na mwokozi wangu, huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options