Skip to content
2 Samweli 2:5-6

2 Samweli 2:5-6

5
akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi-Gileadi kuwaambia, “Bwana awabariki kwa kuonyesha wema huu kwa kumzika Sauli bwana wenu.
6
Sasa Bwana na awaonyeshe wema na uaminifu, nami pia nitawaonyesha wema ule ule kwa kuwa mmefanya jambo hili.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options