Skip to content
2 Samweli 19:29-30

2 Samweli 19:29-30

29
Mfalme akamwambia, “Kwa nini useme zaidi? Naamuru wewe na Siba mgawanye mashamba.”
30
Mefiboshethi akamwambia mfalme, “Mruhusu achukue kila kitu, kwa kuwa sasa bwana wangu mfalme amerudi nyumbani salama.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options