Skip to content
2 Samweli 18:7-8

2 Samweli 18:7-8

7
Huko jeshi la Israeli likashindwa na watu wa Daudi, siku hiyo majeruhi walikuwa wengi kiasi cha watu ishirini elfu.
8
Vita vikaenea nchi nzima, watu wengi zaidi wakifia msituni siku hiyo kuliko waliouawa kwa upanga.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options