Skip to content
2 Samweli 18:6-7

2 Samweli 18:6-7

6
Jeshi likatoka kwenda kwenye uwanja wa vita kupigana na Israeli, hivyo vita vikapiganwa katika msitu wa Efraimu.
7
Huko jeshi la Israeli likashindwa na watu wa Daudi, siku hiyo majeruhi walikuwa wengi kiasi cha watu ishirini elfu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options