Skip to content
2 Samweli 18:6-7

2 Samweli 18:6-7

6
Jeshi likatoka kwenda kwenye uwanja wa vita kupigana na Israeli, hivyo vita vikapiganwa katika msitu wa Efraimu.
7
Huko jeshi la Israeli likashindwa na watu wa Daudi, siku hiyo majeruhi walikuwa wengi kiasi cha watu ishirini elfu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options