Skip to content
2 Samweli 13:21-22

2 Samweli 13:21-22

21
Mfalme Daudi aliposikia mambo haya yote, akakasirika sana.
22
Absalomu hakusema neno lolote na Amnoni, likiwa zuri au baya, kwa kuwa alimchukia Amnoni kwa sababu alikuwa amemtia aibu Tamari, dada yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options