Skip to content
2 Samweli 10:15-16

2 Samweli 10:15-16

15
Baada ya Waaramu kuona wameshindwa na Israeli, wakajikusanya tena.
16
Hadadezeri akaagiza Waaramu walioletwa kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakaenda Helamu pamoja na Shobaki jemadari wa jeshi la Hadadezeri akiwaongoza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options