تخطَّ إلى المحتوى
2 Samweli 1:9-10

2 Samweli 1:9-10

9
“Kisha akaniambia, ‘Nikaribie mimi na uniue! Niko katika maumivu makali ya kifo, lakini bado ningali hai.’
10
“Kwa hiyo nikamkaribia nikamuua, kwa sababu nilijua kwamba baada ya kuanguka hangeweza kupona. Nami nikachukua lile taji lililokuwa kichwani mwake na utepe uliokuwa mkononi mwake nami nimevileta hapa kwa bwana wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options