Zum Inhalt springen
2 Petro 3:8-9

2 Petro 3:8-9

8
Lakini wapenzi, msisahau neno hili: kwamba kwa Bwana, siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
9
Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama watu wengine wanavyokudhani kukawia. Badala yake, yeye anawavumilia ninyi, maana hataki mtu yeyote aangamie, bali kila mtu afikilie toba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options