Skip to content
2 Petro 2:7-8

2 Petro 2:7-8

7
na kama alimwokoa Loti, mtu mwenye haki, ambaye alihuzunishwa na maisha machafu ya watu wapotovu
8
(kwa sababu yale matendo mapotovu aliyoyaona na kuyasikia huyo mtu mwenye haki alipoishi miongoni mwao yalimhuzunisha siku baada ya siku):
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options