2 Petro 1:1-2
1
Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo: Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:
2
Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.