Skip to content
2 Wafalme 6:4-7

2 Wafalme 6:4-7

4
Naye akaenda pamoja nao. Basi wakaenda Yordani, nao wakaanza kukata miti.
5
Mmoja wao alipokuwa anakata mti, shoka lilitumbukia kwenye maji. Akalia, “Ee bwana wangu, shoka lilikuwa la kuazima!”
6
Mtu wa Mungu akauliza, “Je, liliangukia wapi?” Alipomwonyesha mahali penyewe, Elisha akakata kijiti na kukitupa mahali pale, nalo shoka likaelea.
7
Akasema, “Lichukue.” Kisha yule mtu akanyoosha mkono wake, akalichukua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options