Skip to content
2 Wafalme 5:2-3

2 Wafalme 5:2-3

2
Siku hizo vikosi kutoka Aramu vilikuwa vimekwenda na vikawa vimemteka msichana kutoka Israeli, naye akamtumikia mkewe Naamani.
3
Akamwambia bibi yake, “Kama bwana wangu angelimwona nabii aliyeko Samaria! Angemponya ukoma wake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options