Skip to content
2 Wafalme 4:5-6

2 Wafalme 4:5-6

5
Yule mjane akaondoka na kujifungia ndani, yeye na wanawe. Wao wakamletea vyombo, naye akaendelea kumimina mafuta.
6
Vyombo vyote vilipojaa, akamwambia mwanawe, “Niletee chombo kingine.” Lakini mwanawe akajibu, “Hakuna chombo kingine kilichobaki.” Basi mafuta yakakoma kutiririka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options