Skip to content
2 Wafalme 3:16-17

2 Wafalme 3:16-17

16
naye akasema, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, ‘Chimbeni bonde hili lijae mahandaki.’
17
Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Bwana: Hamtaona upepo wala mvua, lakini bonde hili litajaa maji, nanyi pamoja na ngʼombe wenu na wanyama wenu wengine mtakunywa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options